Thursday, June 3, 2010

Tamasha la Kibera

Jumapili iliyopita lile tamasha la kuhamasisha Vijana wa Kenya (hasa wa Kibera, Nairobi) kufuatilia mabadiliko ya katiba lilifanyika. Na ifuatayo ni taarifa kutoka NTVKenya:



Napenda kuwapongeza waandaji na wasanii waliojitolea kutumbuiza kwenye tamasha. Ni mfano wa kuigwa.

No comments:

Post a Comment