Sunday, June 6, 2010

Mzungu Kichaa anena na Shurufu

Mara ya kwanza nilipoona video ya wimbo Jitolee wa Mzungu Kichaa, nadhani niliicheza zaidi ya mara kumi mfululizo! Sehemu ambayo mpaka leo bado inanipa tabasamu ni pale jamaa anapowarusha masela Kariakoo (muda 0:55):



Halafu, hapo bado sijaanza kuongelea jinsi gitaa lilivyokung'utwa ile kisawasawa -- amelitekenya kama Diblo Dibala!

Kichaa ana hadithi nyingi mno ambazo nina uhakika watu wengi watapenda kuzisikia. Wiki iliyopita Shurufu aliongea na Mzungu Kichaa kwa kirefu na mahojiano yalikuwa kama ifuatavyo (ung'eng'e au ngeli itahitajika):

“I became Mzungu Kichaa not too long ago; when I released my [debut] album 'Tuko Pamoja' in May 2009. So, in that sense I am new to the game as an artist, under the name Mzungu Kichaa. But in reality, I have been around and I’ve been involved in Music ever since I was…very small. And also I have been involved in Bongo Flava since the start of Bongo Flava, recording at Bongo Records. I went to IST with P-Funk aka Majani…just before he got expelled for stealing the school’s musical equipment so he could produce [laughs].

“... I did stuff behind the scenes like on Juma Nature's [2001] album 'Nini Chanzo' and then I did this song which featured quite significantly on Solo Thang's album, ‘Mambo ya Pwani’ which was a big hit. My role was quite significant cause I actually helped…program it, pretty much all of it, cause the remix took my guitar as the foundation of the program. So we did that and that’s kind of what made me known within the industry but I wasn’t known by the public. The name [Mzungu Kichaa] I got…at Bongo Records [given to me] by Juma Nature way back then when I was working there. So I decided to take up the name...

Endelea kusoma hapa...

No comments:

Post a Comment