Tuesday, June 15, 2010

Budget 2010/2011

The size of the word reflects how often it was used in the 2010/2011 budget speech (wordle.net)

a 74 page document
79 - number of times the words "misaada" or "mikopo" appears
11,609,557 - amount in T.Shs of the budget
14% - basal income tax
20,277,100 - amount in USD set for research and development
628,591,000 - amount in USD set for Agricultural projects
2 Billion USD set for education expenditures
1 Billion USD set for health care
30% of total budget from donor sources
0% on import duty for transport buses (Fast Truck Project)..........


Hon. M. Mkullo, minister of finance (picture michuzi blog)

Click here for the full budget
How does the budget affect you?

4 comments:

  1. Same story, mwaka tofauti.

    ReplyDelete
  2. Anon1.
    ni yepi hayo unadhani ni 'same'? Chambua

    ReplyDelete
  3. 1. Budget 11.6 trillion

    2. 4.57 trillion ni mikopo na misaada kwa washirika wa maendeleo.

    lmost 40% (4.57/11.6) ni misaada. Halafu hawa washirika wa maendeleo hivi conditions ya hiyo misaada wananchi huwa hatuambiwi. Asikwambie mtu vitu vya bure ghali saaaaaaaaaaaaaaaaaaanna.

    Manake mimi nikiwa na nyumba yangu, halafu kuna mtu analipia 40% ya matumizi pale nyumbani. Huyo mtu lazima atakuwa na influence kubwa sana. Akinitishia kidogo tu, sina ujanja lazima nikubali au watoto walale njaa..Kazi ipo.

    Ila ukisoma vitu kama hivi utaacha kuilalamikia serikali. Manake wallet yake imekaa vibaya.

    ReplyDelete
  4. nakubaliana na Bata, taifa tegemezi kila siku haliwezi kuwa na fikra huru. Hivi kipindi cha Mkapa ukusanyaji wa kodi na pato la taifa lilikuwa kubwa zaidi au ni sawa na kipindi hichi cha Kikwete? Mimi ninauliza hilo swali kwani, nimesikia katika Serikali hii, kuna mianya mingi sana ya kukwepa kodi, na usanii umekuwa mwingi kupita kipindi cha Mkapa ambaye aliziba matundu mengi, hivyo hata kama maji hayatofika nyumbani yamejaa, hayatakuwa chini ya nusu ndoo....hah

    ReplyDelete