Tuesday, May 18, 2010

Propaganda za Fid Q zipo kwenye mtandao!!!

Haya jamani, wale ambao tulikuwa tunalalamika kuwa kupata CDs kutoka Bongo ni mbinde...


Album ya mzee mzima Fid Q, Propaganda inapatikana hapa (bofya)! Unaweza ukapata wimbo wake mpya Ngosha the Swagga Don hapa. Wimbo ni bombaaaaaa!

"Mc'z wanaenda down, ka Zim dollerz
mie sio mtu wa Bling mie ni Culture ka Zemkala
da brightest thang shinin nxt to a Diamond
niite Ghost writter ninapoBLAZE ka Amo
mara nyingi mie nina bahati kama Lotto Machines
sio mtu wa Adventures kama FRODO kwenye Lord of the Rings
niite ROSCOE, ninapoSPEAK in tonguez ka Jenk...inz
Don kama Bosco Mad kama Ice Helsink
unataka Bed fight? mie nina King size na French fries kwa Breakfast
T bone steakz na Prison break ki GANGSTA
Tatoo Plan kama Michael Scholfield
Bruce Lee wa RAP ya AFRIKA, ROCKCITY naigeza RAP SEAT...


"Alipenda kwenda na TAREHE, amesahau SIKU Hazilingani
PESA huja na STAREHE, na MATATIZO humo humo Ndani
Hakuna kinachokauka Mapema zaidi ya MACHOZI
japo MACHO hupaki Mekundu na USONI ishara ya Majonzi
Kizuri ni KIZURI lakini chenye UBORA Ni BORA
Kwa bahati MBAYA au NZURI akaja mchimba MADINI wa Kakora
Akashoboka n...a huyu BINTI Aliyemsafisha macho
Akamhonga, Gari, Nyumba na kile alichokuwa Nacho
Almesahau alitoa, MACHOZI, DAMU na JASHO,
kipindi ana HUSTLE, siku zi nyingi anaamini atarudi apoapo
Siku zote ADAM hakosi EVE wa Kumshawishi
Haijalishi maji ni ya MOTO lazima yataurudia UBARIDI..."

Mistari kama hii haina budi kununuliwa!

1 comment: