Kama mjuavyo, idadi ya vifo vya watoto wachanga nyumbani kwetu ni kubwa mno. Filamu hii inajaribu kuchunguza sababu za haya matukio -- kutoka wilaya za Lushoto, Moshi na Serengeti.
Kikwete should be ashamed! ananunua ma bmw mapya ikulu na kuachia pesa zinaibiwa kweupe huku akina mama wanakufa bila sababu. Our president is a con artist in a suit
Kikwete should be ashamed! ananunua ma bmw mapya ikulu na kuachia pesa zinaibiwa kweupe huku akina mama wanakufa bila sababu.
ReplyDeleteOur president is a con artist in a suit
Kliniki yenye usafiri wa "kutosha" ina ambulances TATU. Jamani!
ReplyDelete